Mathayo 13:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Ile mbegu iliyopandwa katika udongo mzuri ni mfano wa mtu asikiaye neno hilo na kuelewa, naye huzaa matunda; mmoja mia, mwingine sitini na mwingine thelathini.”

Mathayo 13

Mathayo 13:19-26