Mathayo 13:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Ile mbegu iliyoanguka kati ya miti ya miiba, ni mfano wa mtu asikiaye hilo neno, lakini wasiwasi wa ulimwengu huu na anasa za mali hulisonga neno hilo, naye hazai matunda.

Mathayo 13

Mathayo 13:18-24