Mathayo 10:42 Biblia Habari Njema (BHN)

Kweli nawaambieni, yeyote atakayempa mmojawapo wa wadogo hawa kikombe cha maji baridi kwa sababu ni mfuasi wangu, hakika hatakosa kamwe kupata tuzo lake.”

Mathayo 10

Mathayo 10:35-42