Mathayo 10:41 Biblia Habari Njema (BHN)

Anayempokea nabii kwa sababu ni nabii, atapokea tuzo la nabii. Anayempokea mtu mwema kwa sababu ni mtu mwema, atapokea tuzo la mtu mwema.

Mathayo 10

Mathayo 10:32-42