8. Ingawa naita na kulilia msaadaanaizuia sala yangu isimfikie.
9. Njia zangu ameziziba kwa mawe makubwaamevipotosha vichochoro vyangu.
10. Yeye ni kama dubu anayenivizia;ni kama simba aliyejificha.
11. Alinifukuza njiani mwangu,akanilemaza na kuniacha mkiwa.