4. Amenichakaza ngozi na nyama,mifupa yangu ameivunja.
5. Amenizingira na kunizungushiauchungu na mateso.
6. Amenikalisha gizanikama watu waliokufa zamani.
7. Amenizungushia ukuta nisitoroke,amenifunga kwa minyororo mizito.
8. Ingawa naita na kulilia msaadaanaizuia sala yangu isimfikie.