Maombolezo 1:18 Biblia Habari Njema (BHN)

“Lakini Mwenyezi-Mungu amefanya sawakwa maana nimeliasi neno lake.Nisikilizeni enyi watu wote,yatazameni mateso yangu.Wasichana wangu na wavulana wangu,wamechukuliwa mateka.

Maombolezo 1

Maombolezo 1:8-22