Kutoka 35:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Mose alikusanya jumuiya yote ya Waisraeli, akawaambia, “Haya ndiyo mambo ambayo Mwenyezi-Mungu amewaamuru muyafanye:

2. Kwa siku sita mtafanya kazi zenu; lakini siku ya saba ni Sabato siku ya mapumziko ambayo ni wakfu kwa Mwenyezi-Mungu. Yeyote atakayefanya kazi siku hiyo lazima auawe.

3. Msiwashe hata moto katika makao yenu siku ya Sabato.”

Kutoka 35