Kutoka 35:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa siku sita mtafanya kazi zenu; lakini siku ya saba ni Sabato siku ya mapumziko ambayo ni wakfu kwa Mwenyezi-Mungu. Yeyote atakayefanya kazi siku hiyo lazima auawe.

Kutoka 35

Kutoka 35:1-7