Kumbukumbu La Sheria 4:15 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kwa hiyo muwe waangalifu msije kusahau kwamba: Mwenyezi-Mungu alipoongea nanyi kule mlimani Horebu katikati ya moto hamkumwona kwa umbo. Kwa sababu hiyo jihadharini sana,

Kumbukumbu La Sheria 4

Kumbukumbu La Sheria 4:6-17