Kumbukumbu La Sheria 28:39 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtapanda mizabibu na kuitunza, lakini hamtavuna mizabibu hiyo wala kunywa divai yake, maana wadudu wataila.

Kumbukumbu La Sheria 28

Kumbukumbu La Sheria 28:36-40