Kumbukumbu La Sheria 28:20 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mwenyezi-Mungu atawaleteeni maafa, vurugu na kukata tamaa katika shughuli zenu zote mpaka mmeangamia upesi kwa sababu ya uovu wa matendo yenu na kwa sababu ya kumwacha Mwenyezi-Mungu.

Kumbukumbu La Sheria 28

Kumbukumbu La Sheria 28:17-24