Kumbukumbu La Sheria 26:5 Biblia Habari Njema (BHN)

utatamka maneno haya mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wako: ‘Baba yangu alikuwa Mwaramu aliyetangatanga huko na huko, kisha akashuka kwenda Misri akaishi huko kama mgeni. Yeye na jamaa yake walikuwa watu wachache tu walipokuwa huko, lakini wakawa taifa kubwa lenye nguvu na watu wengi.

Kumbukumbu La Sheria 26

Kumbukumbu La Sheria 26:1-13