Kumbukumbu La Sheria 26:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha utasema mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, hivi: ‘Nimelitoa nyumbani kwangu fungu takatifu, nikawapa Walawi, wageni, yatima na wajane, kama ulivyoniamuru nifanye. Sijavunja amri zako wala sijasahau.

Kumbukumbu La Sheria 26

Kumbukumbu La Sheria 26:7-19