Kumbukumbu La Sheria 17:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Inawezekana kukatokea mashtaka mengine yaliyo magumu mijini mwenu, kama vile kesi zihusuzo: Unajisi, mambo ya haki za watu, na madhara ya mwili. Ikitokea hivyo, mtaondoka na kwenda mahali alipopachagua Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu,

Kumbukumbu La Sheria 17

Kumbukumbu La Sheria 17:2-15