Isaya 66:3 Biblia Habari Njema (BHN)

“Lakini watu hawa wanafanya wanavyotaka:Wananitolea tambiko ya ng'ombena mara wanaua watu kutambikia.Wananitolea sadaka ya mwanakondoona pia wanamvunja mbwa shingo.Wananitolea tambiko ya nafakana pia kupeleka damu ya nguruwe.Wanachoma ubani mbele yanguna kwenda kuabudu miungu ya uongo.Hao wamechagua kufuata njia zao wenyewe.

Isaya 66

Isaya 66:1-7