Isaya 26:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu hao wamekufa, wala hawataishi tena;wamekuwa mizimu, wala hawatafufuka.Maana wewe umewaadhibu na kuwaangamiza,hakuna atakayeweza kuwakumbuka tena.

Isaya 26

Isaya 26:8-18