Isaya 10:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati Mwenyezi-Mungu atakapomaliza kazi zake zote mlimani Siyoni na mjini Yerusalemu, atamwadhibu mfalme wa Ashuru, kwa sababu ya majivuno na kiburi chake.

Isaya 10

Isaya 10:3-14