Hesabu 36:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini wao wakiolewa na Waisraeli wa makabila mengine, urithi wao utatoka kwetu na kuwaendea watu wa kabila watakamoolewa; kwa hiyo urithi wetu sisi utapungua.

Hesabu 36

Hesabu 36:2-13