Hesabu 36:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Viongozi wa jamaa katika ukoo wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa Manase, mwana wa Yosefu, walikwenda kuzungumza na Mose na viongozi wengine wa koo za Waisraeli.

Hesabu 36

Hesabu 36:1-4