Hesabu 26:64 Biblia Habari Njema (BHN)

Miongoni mwao hakuwamo hata mtu mmoja aliyesalia kati ya wale waliohesabiwa na Mose na kuhani Aroni ambao walifanya sensa ya kwanza jangwani Sinai.

Hesabu 26

Hesabu 26:59-65