Hesabu 26:63 Biblia Habari Njema (BHN)

Hao ndio wanaume Waisraeli walioorodheshwa na Mose na kuhani Eleazari katika nchi tambarare za Moabu, ngambo ya mto Yordani, karibu na Yeriko.

Hesabu 26

Hesabu 26:58-64