Hesabu 26:10-13 Biblia Habari Njema (BHN)

10. Wakati huo ardhi ilifunguka ikawameza, wakafa pamoja na Kora na wafuasi wake moto ulipoangamiza watu 250; wakawa onyo kwa watu.

11. Pamoja na hayo wana wa Kora hawakufa.)

12. Kabila la Simeoni. Nemueli, Yamini, Yakini,

13. Zera na Shauli.

Hesabu 26