Hesabu 25:18 Biblia Habari Njema (BHN)

kwa sababu waliwachokoza nyinyi kwa hila zao, wakawadanganya kuhusu jambo la Peori, na kwa sababu ya Kozbi, binti yao, aliyeuawa wakati maradhi mabaya yalipozuka kule Peori.”

Hesabu 25

Hesabu 25:10-18