Hesabu 21:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo, Waisraeli wakamwekea Mwenyezi-Mungu nadhiri wakisema: “Kama utawatia watu hawa mikononi mwetu, basi tutaiangamiza kabisa miji yao.”

Hesabu 21

Hesabu 21:1-11