Hesabu 21:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme mmoja Mkanaani wa Aradi aliyeishi huko Negebu alipopata habari kwamba Waisraeli walikuwa wanakuja kwa njia ya Atharimu, alikwenda kuwashambulia, akawateka baadhi yao.

Hesabu 21

Hesabu 21:1-9