Hesabu 19:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu watalishika sharti hili daima. Mtu atakayenyunyiza maji ya kutakasia ataosha nguo zake; naye anayegusa maji hayo ya najisi atakuwa najisi hadi jioni.

Hesabu 19

Hesabu 19:18-22