Hesabu 19:20 Biblia Habari Njema (BHN)

“Lakini mtu akiwa najisi asipojitakasa, mtu huyo atakataliwa mbali na jumuiya, kwa kuwa analitia najisi hema la Mwenyezi-Mungu. Kwa vile hakunyunyiziwa maji ya utakaso, yu unajisi.

Hesabu 19

Hesabu 19:10-22