Hesabu 18:21 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kuhusu Walawi, hao nimewapa zaka zote ambazo Waisraeli hunitolea kuwa urithi wao. Haya yatakuwa malipo yao kwa huduma wanayotoa katika kulitunza hema langu la mkutano.

Hesabu 18

Hesabu 18:16-22