Hesabu 18:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu akamwambia Aroni, “Wewe hutakuwa na urithi wowote katika nchi yao, wala kuwa na fungu lako miongoni mwao; mimi ndimi fungu lako na urithi wako kati ya Waisraeli.”

Hesabu 18

Hesabu 18:14-24