Hesabu 16:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, kila mmoja wao akachukua chetezo chake, akatia makaa ya moto na ubani, kisha wakaenda na kusimama mlangoni mwa hema la mkutano, pamoja na Mose na Aroni.

Hesabu 16

Hesabu 16:12-25