Hesabu 16:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Kila mmoja wenu achukue chetezo chake, na kutia ubani, kisha atakipeleka mbele ya Mwenyezi-Mungu; kwa jumla vitakuwa vyetezo 250; wewe pia na Aroni, kila mmoja atakuwa na chetezo chake.”

Hesabu 16

Hesabu 16:15-19