Hesabu 16:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Mose alikasirika mno, akamwambia Mwenyezi-Mungu “Usizikubali sadaka za watu hawa. Mimi sijachukua punda wa mtu yeyote, wala sijamdhuru mtu!”

Hesabu 16

Hesabu 16:9-18