Hesabu 16:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Zaidi ya hayo, hukutuleta kwenye nchi inayotiririka maziwa na asali, wala kutupatia urithi wa mashamba na mashamba ya mizabibu. Unafikiri utawafanya hawa watu kuwa vipofu? Hatutakuja!”

Hesabu 16

Hesabu 16:7-23