Hesabu 15:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana amekataa yale aliyosema Mwenyezi-Mungu na kuvunja mojawapo ya amri zake. Mtu huyo atakatiliwa mbali kabisa; na lawama ya kifo chake itakuwa juu yake mwenyewe.”

Hesabu 15

Hesabu 15:26-34