Hesabu 15:30 Biblia Habari Njema (BHN)

“Lakini mtu yeyote atakayekosa kwa makusudi, awe mwananchi au mgeni, atakuwa anamdhihaki Mwenyezi-Mungu, na ni lazima akatiliwe mbali miongoni mwa watu wake.

Hesabu 15

Hesabu 15:24-37