Hesabu 12:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha Mwenyezi-Mungu akawaambia, “Sikilizeni maneno yangu: Kama kuna nabii miongoni mwenu, mimi Mwenyezi-Mungu hujifahamisha kwake katika maono na kuongea naye katika ndoto.

Hesabu 12

Hesabu 12:5-11