Hesabu 12:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo Mwenyezi-Mungu akashuka katika nguzo ya wingu, akasimama kwenye mlango wa hema, akawaita Aroni na Miriamu. Wote wawili wakasogea mbele.

Hesabu 12

Hesabu 12:1-15