Ezekieli 8:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Na mbele ya sanamu hizo walisimama wazee sabini wa watu wa Israeli pamoja na Yaazania mwana wa Shafani. Kila mmoja alikuwa na chetezo mkononi, na moshi wa ubani ulipanda juu.

Ezekieli 8

Ezekieli 8:7-18