Ezekieli 8:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, nikaingia, nikaona sanamu za wadudu na za wanyama wa kila aina ya kuchukiza na vinyago vyote vya miungu ya Waisraeli, vimechorwa kuuzunguka ukuta.

Ezekieli 8

Ezekieli 8:4-18