Ezekieli 33:2 Biblia Habari Njema (BHN)

“Wewe mtu! Ongea na wananchi wenzako, uwaambie hivi: Kama nikizusha vita katika nchi fulani, na watu wa nchi hiyo wakamchagua mmoja wao awe mlinzi wao,

Ezekieli 33

Ezekieli 33:1-4