5. Je, mtego bila chamboutamnasa ndege?Je, mtego hufyatukabila kuguswa na kitu?
6. Je, baragumu ya vita hulia mjinibila kutia watu hofu?Je, mji hupatwa na jangaasilolileta Mungu?
7. Hakika, Bwana Mwenyezi-Mungu hafanyi kitubila kuwafunulia watumishi wake manabii nia yake.
8. Simba akinguruma,ni nani asiyeogopa?Bwana Mwenyezi-Mungu akinena,ni nani atakataa kuutangaza ujumbe wake?