14. Hata wapiga mbio hodari hawataweza kutoroka;wenye nguvu wataishiwa nguvu zao,na askari watashindwa kuyaokoa maisha yao.
15. Wapiga upinde vitani hawatastahimili;wapiga mbio hodari hawataweza kujiokoa,wala wapandafarasi hawatayanusurisha maisha yao.
16. Siku hiyo, hata askari hodariwatatimua mbio bila chochote.Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”