Amosi 1:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu asema hivi:“Watu wa Amoni wametenda dhambi tena na tena,kwa hiyo sitaacha kuwaadhibu.Katika vita vyao vya kupora nchi zaidi,waliwatumbua wanawake waja wazito nchini Gileadi.

Amosi 1

Amosi 1:12-15