2 Wakorintho 12:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Naogopa huenda hapo nitakapokuja safari ijayo Mungu wangu atanifanya niaibike mbele yenu, nami nitaomboleza kwa ajili ya wengi wa wale waliotenda dhambi lakini hawakujuta huo uchafu, tamaa zao mbaya na uzinzi waliokuwa wamefanya.

2 Wakorintho 12

2 Wakorintho 12:15-21