2 Wakorintho 12:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Naogopa, huenda nitakapokuja kwenu nitawakuta katika hali nisiyopenda, nami itanilazimu kuwa katika hali msiyoipenda. Naogopa huenda kukawa na ugomvi, wivu, uhasama, ubishi, masengenyo, kunongona, majivuno na fujo kati yenu.

2 Wakorintho 12

2 Wakorintho 12:16-21