2 Wafalme 16:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Tiglath-pileseri, akiitikia ombi la Ahazi, aliushambulia mji wa Damasko na kuuteka. Akamuua mfalme Resini na kuwapeleka mateka Kiri.

2 Wafalme 16

2 Wafalme 16:8-17