2 Wafalme 16:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme Ahazi alipokwenda Damasko kukutana na mfalme Tiglath-pileseri, aliona madhabahu huko. Basi, akamtumia kuhani Uria mfano kamili na mchoro wa madhabahu hiyo.

2 Wafalme 16

2 Wafalme 16:1-20