2 Timotheo 2:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini msingi thabiti uliowekwa na Mungu uko imara, na juu yake yameandikwa maneno haya: “Bwana anawafahamu wale walio wake,” na “Kila asemaye yeye ni wa Bwana, ni lazima aachane na uovu.”

2 Timotheo 2

2 Timotheo 2:15-26