2 Samueli 23:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Vilevile, aliliua jitu la Misri. Mmisri huyo alikuwa na mkuki, lakini Benaya alimwendea akiwa na fimbo tu, akamnyanganya mkuki huo, na kumwua Mmisri huyo kwa mkuki wake mwenyewe.

2 Samueli 23

2 Samueli 23:19-31